Dj Faster 80 Updates:

Home » , , , , » Neno la P-Funk Majani kwa Lady JayDee Kuhusu Beef na Radio Clouds ni Hili

Neno la P-Funk Majani kwa Lady JayDee Kuhusu Beef na Radio Clouds ni Hili

Written By Khalid on Sunday, May 12, 2013 | 9:56 AM

Producer mwenye historia kubwa na ya kipekee katika muziki wa Bongo Fleva P-Funk Majani ameonesha kumuunga mkono Lady JayDee na kwamba anadhani ni muda sasa wengine wakafuata nyayo zake, yeye mwenyewe majani amemhakikishia Jide kuwa yuko nae “Count Me in”.

Ameongeza kuwa endapo wasanii na watayarishaji wa muziki wakiungana hakuna kitakachowazua isipokuwa Mungu.
Share this article :

Total Visit

Sikiliza Voice of Tabora 89.0Mhz FM: VoT Radio Online. LIVE STREAM:

Winamp, iTunes Windows Media Player Real Player QuickTime
 
Powered by Blogger | © Dj Faster 80 - All Rights Reserved
Developed by Kicbjamii