Dj Faster 80 Updates:

Home » , , » KIFO CHA KWENYE MAJI MKOANI TABORA,WANANCHI WAKUMBWA NA HOFU KUBWA KILOLENI-TABORA MJINI

KIFO CHA KWENYE MAJI MKOANI TABORA,WANANCHI WAKUMBWA NA HOFU KUBWA KILOLENI-TABORA MJINI

Written By Khalid on Friday, May 10, 2013 | 11:01 AM



Askari wa kikosi cha zimamoto mjini Tabora wakiutoa mwili wa mwanamke ambaye amekutwa amekufa katika kisima cha maji maarufu Bombamzinga kilichopo kata ya Kiloleni Tabora mjini,Mwanamke huyo ametambulika kwa jina la Hawa Ramadhani Mzee ambaye alikuwa na umri wa miaka 42 ambaye pia inasemekana alikuwa na matatizo ya akili.
Askari wa kikosi cha zimamoto mjini Tabora wakiutoa mwili wa mwanamke ambaye amekutwa amekufa katika kisima cha maji maarufu Bombamzinga kilichopo kata ya Kiloleni Tabora mjini,Mwanamke huyo ametambulika kwa jina la Hawa Ramadhani Mzee ambaye alikuwa na umri wa miaka 42 ambaye pia inasemekana alikuwa na matatizo ya akili.
Baadhi ya Askari wa Jwtz,Polisi na wa kikosi cha zimamoto Tabora mjini waliposhirikiana kuutoa mwili wa mwanamke huyo.

 

Share this article :

Total Visit

Sikiliza Voice of Tabora 89.0Mhz FM: VoT Radio Online. LIVE STREAM:

Winamp, iTunes Windows Media Player Real Player QuickTime
 
Powered by Blogger | © Dj Faster 80 - All Rights Reserved
Developed by Kicbjamii